Mkate : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[Picha:Balboa 20 bg 120603.jpg|thumb|Tortilla]]
[[Picha:Mischbrot-1.jpg|thumb|Mkate wa Kijerumani uliotengenezwa kwa [[ngano nyekundu]]]]
[[Picha:Weißbrot-1.jpg|thumb|Mkate wa
'''Mkate''' ni [[chakula]] kinachotengenezwa kwa kuoka [[kinyunga]] cha [[unga]] na [[maji]]. Mara nyingi viungo fulanifulani huongezwa kwa kubadilisha [[ladha]]. Kuna pia mikate inayotiwa kiasi kidogo cha [[mafuta]].▼
▲'''Mkate''' ni chakula kinachotengenezwa kwa kuoka [[kinyunga]] cha [[unga]] na [[maji]]. Mara nyingi viungo huongezwa kwa kubadilisha ladha. Kuna pia mikate inayotiwa kiasi kidogo cha mafuta.
==Namna za mkate==
Kimsingi kuna aina [[mbili]] za mkate:
* mkate wa kinyunga kilichochachuka
* mkate wa kinyunga kisichochachuka
Mikate bapa aina ya [[chapati]] hutengenezwa katika [[sufuria]],
Kama kinyunga kinatengenezwa kwa kuongeza mafuta mengi, [[sukari]] na [[Maziwa|maziwa]] si mkate tena bali [[keki]].
=== Aina ya mikate isiyochachuka ===
Aina mbalimbali za chapati hizi
Aina hizi zote ni nyembamba kwa sababu kinyunga huwa
Hii ni mbinu asilia wa kutengeneza mikate.
=== Mikate iliyochachuka ===
Kwa aina nyingi ya mikate kinyunga huchachuka. Kuna [[Dawa|madawa]] mbalimbali zinazofaa kuwa [[chachu]] kama [[hamira]]. [[kijidudu|Vijidudu]] vya chachu viko [[Hewa|hewani]], kwa hiyo kinyunga kitachachuka kikikaa hewani kwa [[muda]] wa [[siku]] [[moja]] au zaidi (chachu asilia).
Njia ya haraka
Kuna aina nyingi sana
Nafaka kama [[ngano nyekundu]] na [[shayiri]] huleta pia mkate mweusi zaidi.
== Mkate na utamaduni ==
Mkate kama chakula cha kila siku ni sehemu ya [[utamaduni]] wa nchi nyingi. Duniani ni [[Ujerumani|Wajerumani]] wanaokula mkate mwingi kila siku, wakifuatwa na watu wa [[Chile]]. Ujerumani kuna aina tofauti
Nje ya [[miji]] mikubwa kuna bado kawaida ya kuoka mikate [[Nyumba|nyumbani]] katika nchi kadhaa, hasa za [[Asia]].
==Mkate na dini==
Mkate uliingia pia katika [[sala]] kuu ya [[Ukristo]] "[[Baba yetu]]", ambayo ilitungwa na [[Yesu Kristo]] mwenyewe na kuripotiwa katika [[Injili]] ya [[Injili ya Mathayo|Mathayo]] na [[Injili ya Luka|Luka]] ikiwa na tofauti ndogo kutokana na [[urefu]] wake.
Ombi la [[nne]] katika Mathayo linataja "mkate wa kila siku". Katika [[tafsiri]] za [[Kiswahili]] za sala hii ombi limetafsiriwa kwa njia mbili tofauti.
Utamaduni wa [[Waafrika]] wengi haukujua mkate kama chakula kikuu. Hivyo [[Waprotestanti]] walitafsiri hapa "riziki", wakielewa maana ya mkate katika sala si chakula kile tu, lakini mahitaji ya [[mwili]] kwa jumla.
[[Wakatoliki]] walitumia neno "mkate" ulioanza kutumiwa kwa chakula hiki lakini halikujulikana bado kwa watu wengi Afrika bara. Kwao ni muhimu kusisitiza uhusiano kati ya ombi hilo na [[ekaristi]], chakula cha [[roho]] kilichotolewa na [[Yesu]] kama mkate wakati wa [[karamu ya mwisho]]. Tena mwenyewe alijiita "mkate wa [[uzima]]"
== Picha ==
<gallery>
Image: Fladenbrot-2.jpg|Mkate bapa wa [[Uturuki]] uliochachuka
Image:Toastbrot-1.jpg|
Image:Work dough.jpg|Kuandaa mkate bapa
Image:Bread rolls.jpg|Mikate midogo
Line 54 ⟶ 58:
Image:Bread Sticks.jpg|Mikate ya fimbo
Image:Chleb - polish bread.jpg|Mkate duara wa [[Poland]]
</gallery>
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Chakula| ]]
[[Jamii:Ekaristi]]
|