Mkate : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 45:
Ombi la [[nne]] katika Mathayo linataja "mkate wa kila siku". Katika [[tafsiri]] za [[Kiswahili]] za sala hii ombi limetafsiriwa kwa njia mbili tofauti.
 
Utamaduni wa [[Waafrika]] wengi haukujua mkate kama chakula kikuu. Hivyo [[Waprotestanti]] walitafsiri hapa "riziki", wakielewa maana ya mkate katika sala si chakula kile tu, lakini mahitaji ya [[mwili]] kwa jumla. Lakini tafsiri hiyo haikuzingatia maneno ya Injili yanayofafanua aina ya mkate inayomaanishwa (τον επιουσιον, yaani "ulio wa juu kuliko kawaida").
 
[[Wakatoliki]] walitumia neno "mkate" ulioanza kutumiwa kwa chakula hiki lakini halikujulikana bado kwa watu wengi Afrika bara. KwaoKwa Wakatoliki ni muhimu kusisitiza uhusiano kati ya ombi hilo na [[ekaristi]], chakula cha [[roho]] kilichotolewa na [[Yesu]] kama mkate wakati wa [[karamu ya mwisho]]. Tena mwenyewe alijiita "mkate wa [[uzima]]" ([[Yoh]] 6).
 
== Picha ==