Kasoko ya Chicxulub : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4:
'''Kasoko ya Chicxulub'''<ref>tamka ''chik-shulub''</ref> ni kasoko kubwa kwenye pwani la [[rasi ya Yucatan]] ([[Meksiko]]) iliyosababishwa na pigo la [[asteroidi]] miaka milioni 66 iliyopita. Inaaminiwa ya kwamba tukio hili lilisababisha kuangamizwa kwa [[dinosauri]] pamoja na spishi nyingi nyingine duniani.
Kasoko hii ina kipenyo cha zaidi ya [[km]] 180 hivyo ni kasoko kubwa ya tatu duniani iliyosababishwa na pigo la asteroidi (''[[:en:impact crater]]'') <ref>Earth Impact Data Base: [http://www.unb.ca/passc/ImpactDatabase/#ImpactCraterCriteria]</ref> Asteroidi iliyopiga hapa ilikuwa na kipenyo cha angalau [[km]] 10. Pigo hili lilisababisha tsunami, kuwaka kwa moto katika sehemu nyingi za dunia, mitetemeko ya ardhi na kulipuka kwa volkeno nyingi.
Kasoko haionekani tena kwa macho au kutoka ndege maana [[mmomonyoko]] kwenye uso wa ardhi umeshasawazisha milima na kufunika shimo. Lakini vipimo inaonyesha mabadiliko katika miamba ya eneo hili na mabadiliko katika uga wa [[graviti]] ya eneo hili yanayotokana na densiti kubwa ya miamba pale ambako pigo lilikandamiza mwamba. Umri wa mwamba ulipimiwa na kukadiriwa kuwa takriban miaka milioni 65 - 66. Umri huu unalingana na kupotea ghafla kwa spishi nyingi kote duniani jinsi inavyoonekana katika mabaki ya [[kisukuku]].<ref name=Schulte>{{cite journal|last=Schulte|first=Peter ''et al.''|coauthors=|date=5 March 2010|title=The Chicxulub Asteroid Impact and Mass Extinction at the Cretaceous-Paleogene Boundary|journal=Science|publisher=AAAS|volume=327|issue=5970|pages=1214–1218|issn=1095-9203 |url=http://www.sciencemag.org/cgi/content/abstract/327/5970/1214|accessdate=5 March 2010|doi=10.1126/science.1177265|pmid=20203042}}
|