Apollo 11 : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Nembo ya Apollo 11
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Apollo11logo.jpg|alt=A|thumb|Nembo ya Apollo 11]]
'''Apollo 11''' kilikuwa niilikuwa [[chombo cha angani]] cha kwanza kufikisha [[watu]] kwenye [[Mwezi]]. Hii yote ilifanywa na [[NASA]] (Mamlaka ya Marekani ya Usafiri wa Anga). Kilirushwa angani mnamo [[16 Julai]] [[1969]] kikibeba [[wanaanga]] watatu [[Neil Armstrong]], [[Buzz Aldrin]] na [[Michael Collins]].
 
==Muundo wa Apollo 11==
Chombo chenyewe kilikuwa na sehemu au [[moduli]]
 
* moduli ya jukwaa ''(command module)'' penye vifaa vya kuendesha [[injini]], [[usukani]] na sehemu walipokaa wanaanga wakati wa [[safari]]
* moduli ya huduma ''(service module)'' penye injini, matangi ya [[fueli]] na [[oksijeni]], vifaa vya [[mawasiliano]]
* moduli ya [[feri ya mwezi]] yaani chombo cha kufikisha wanaanga 2wawili kwenye uso wa mwezi na kuwarudisha baadaye kwakwenye moduli ya jukwaa
 
Sehemu ya jukwaa pekee ilikuwa na oksijeni na shinikizo la [[hewa]] kama [[duniani]] na hapa wananga waliweza kukaa bila kuvaa [[suti za anga]].
 
==Apollo 11 mwezini==
Baada ya kufika kwenye [[obiti]] ya kuzunguka mwezi, Amstrong na Aldrin waliingia katika feri iliyotenganishwa sasa na jukwaa na kufika mwezini.
 
Mnamo [[20 Julai]] [[1969]] Armstrong na Aldrin walikuwa wanadamu wa kwanza kutua kwenye Mwezi wakati Collins akibaki kwenye [[obiti]] karibu yana mwezi.
 
Baada ya masaa 22 feri iliruka tena na kuwarudisha kwenye moduli ya jukwaa. Wanaanga walihamia jukwaa na sehemu ya feri libakiilibaki katika obiti ya mwezi hadi kuanguka chini baadaye.
 
==Kurudi duniani==
Moduli za jukwaa na huduma zilielekea tena duniani. Katika obiti ya dunia moduli zote [[mbili]] zilitenganishwa ni jukwaa pekee iliyorudi duniani ikibeba wanaanga na kutua kwa msaada wa [[parachuti]] kwenye [[bahari ya Pasifiki]] takriban [[kilomita]] 24 kutoka [[manowari]] iliyowasubiri na kutuma [[helikopta]] kuwatoa nje ya [[maji]].
 
==Marejeo==
<references/>
 
 
[[Jamii:Usafiri wa anga la nje]]