Kwanza Unit : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+wanachama kichwa cha habari
No edit summary
Mstari 19:
}}
'''Kwanza Unit''' (vilevile '''KU Crew''') lilikuwa kundi la mwanzo kabisa la [[muziki wa hip hop]] kutoka nchini [[Tanzania]]. Kundi lilianzishwa mnamo mwaka wa 1993 kwa muunganiko wa makundi kadhaa na wasanii wa rap. Awali walikuwa wanarap kwa [[Kiingereza]], lakini baadaye wakawa wanatumia [[Kiswahili]] vilevile.
==Historia==
 
Wanachama waanzilishi wa Kwanza Unit ikiwa ni pamoja na makundi matatu makuu ya hip-hop kwa kipindi hiko – Villain Gangsters, Raiders Posse, na Tribe-X. Kwa mujibu wa [[Rhymson]], mwanachama mwanzilishi wa kundi la Villain Gangsters, lengo la kuanzisha Unit ilikuwa ilikuwa kuifanya Tanzania kama "taifa la hip hop." Vilevile walitazamia kuondoa vijana katika maisha ya mtaani, hasa yale ya hali duni na kuweza kujitegemea na kuondokana na hali hiyo kabisa. <ref>Zavara Mponjika, katika vijambo TV, NY Marekani. http://darslamproductions.blogspot.com/2012/05/zavara-mponjika-muanzilishi-wa-kwanza.html</ref>