Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 69:
 
Pia ina [[mito]] mingi ambayo inaelekeza [[maji]] yake katika [[Bahari ya Hindi]] [[mashariki]] mwa nchi, lakini mingine inachangia [[Mto Zambezi]] kupitia [[Ziwa Nyasa]], michache [[Bahari ya Kati]] kupitia [[Ziwa Victoria]] na [[mto Naili]], mingine tena [[Bahari Atlantiki]] kupitia [[Ziwa Tanganyika]] na mingine inaishia katika [[mabonde]] kama ya [[Ziwa Rukwa]].
 
Karibu [[thuluthi]] [[moja]] ya nchi inalindwa kwa namna moja au nyingine: kuna [[Mbuga za Taifa la Tanzania|Hifadhi za Taifa 16]], mbali ya Hifadhi Teule, Hifadhi za Mawindo, Mapori ya Akiba n.k.
 
== Historia ==