Kundinyota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 39:
3. Wasanii walichora picha kama ile ya juu upande wa kushoto (nyota kadhaa zilitiwa rangi katika makala hii kwa kuonekana vizuri zaidi si picha yenyewe). Hivyo katika mawazo ya watu wa kale katika tamaduni mbalimbali anga lilijaa mapepo au hasa miungu.<br/>
 
==Matumizi Kundinyotaya kundinyota katika astronomia ==
KitaalamuAstronomia imeshatambua ya kwamba kundinyota hazipo hali halisi ni wazo tu tukitazama kutoka kwetu duniani; hali halisi hazipatikani mahali pamoja au pa karibu katika [[anga la nje]]. Hata hivyo ni msaada wa kutaja eneo fulani kwenye anga. Kwa sababu hiyo [[Umoja wa kimataifa wa astronomia]] umetambua kundinyota 88 zinakubaliwazinazokubaliwa kama msaada wa kutaja nyota. Sayansi ya [[astronomia]] inatumia kundinyota kama mbinu wa kupata ramani ya nyota jinsi zinavyoonekana angani. Majina ya nyota zinazoonekana hutajwa kufuatana na eneo la kundinyota zinapoonekana halafu kwa kuongeza [[herufi za kigiriki]].
 
Mfano mashuhuri ni nyota iliyo karibu na jua letu katika [[anga la ulimwengu]] ambayo ni [[Rijili Kantori]] hutajwa kama "[[Alpha Centauri]]" maana ni nyota iliyohesabiwa kama nyota ya kwanza katika eneo la kundinyota "Centaurus" (swa. [[Kantarusi (kundinyota)|Kantarusi]]).
 
Wanaastronomia wanatumia zaidi mfumo wa digrii zinazolingana na utaratibu wa [[latitudo]] na [[longitudo]] hapa duniani wakitaka kutaja mahali kamili pa nyota. Lakini hadi leo kindinyota ni msaada wa kujua eti nyota fulani au nyotamkia inapatikana katika eneo gani. Hii ni sawa na kusema "mji fulani uko kaskazini-magharibi ya Afrika" kabla ya kutaja kikamilifu mahali pake kwa longitudo na latitudo.
Mstari 76:
# Samaki (Pisces):Feb 19 – Machi 20
 
==Matumizi ya kundinyota katika astronomia==
Astronomia imeshatambua ya kwamba kundinyota hazipo hali halisi ni wazo tu tukitazama kutoka kwetu duniani; hali halisi hazipatikani angani bado unajimu inatangaza tofauti. Hata hivyo ni msaada wa kutaja eneo fulani kwenye anga. Kwa sababu hiyo [[Umoja wa kimataifa wa astronomia]]
 
==Marejeo==
<references/>
 
 
[[Jamii:Astronomia]]