Kondoo (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Hamali Aries.jpg|300px|thumb|Nyota kuu za Hamali (Aries)]]
'''Hamali''' ni [[kundinyota|kundinyota]] ya [[zodiaki]] inayojulikana pia kwa jina lake la kimagharibi la [[:en:Aries constellation|Aries]]<ref>[[Uhusika milikishi]] ''([[:en:genitive]])'' ya neno "Aries" katika lugha ya [[Kilatini]] ni "Arietis" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Arietis, nk.</ref>. Hamali
Kwa hiyo kundinyota "Hamali" inaonyesha eneo la angani jinsi tunavyoiona kutoka Duniani.
==Jina==
Jina la Kiswahili ni Hamali
<ref>Edward William Lane , Arabic‐English Lexicon p. 1428, A lamb; alhamal „aries“ </ref>
<ref>Rogers, John H. 1998. "Origins of the Ancient Constellations: I. The Mesopotamian Traditions". Journal of the British Astronomical Association. 108 1: 9–28. Bibcode:1998JBAA..108....9R.</ref>
Katika unajimu wa kisasa katika Afrika ya Mashariki jina "Hamali" limesahauliwa ikiwa kundinyota
== Mahali pake ==
Line 15 ⟶ 16:
== Magimba ya angani ==
Hamali huwa na nyota angavu 3 hasa zilizotumiwa kwa ubaharia tangu zamani.<ref>[http://www.ianridpath.com/starnames.htm Proper names of stars ], blogu ya mwanastronomia Mwingereza Ian Ridpath, iliangaliwa Juni 2017</ref> Hizi
Alpha Arietis inajulikana kimataifa pia kwa jina la "Hamali"
[[Beta Arietis]] inayoitwa pia Sheratan ina rangi ya buluu-nyeupe na uangavu unaoonekana wa 2.64 ikiwa na umbali wa miaka ya nuru 59 kutoka dunia.
|