TAZARA : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
]viungo
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 32:
 
 
== Shabaha zaya mradi wa kujenga TAZARA ==
Ukaguzi wa awali wa njia ya reli ulianza mwaka 1968. Hatua hii ilikuwa kutazamia mahali ambapo reli itapita. Ujenzi wa reli ya TAZARA ilijengwailiuanza kuanyia kuanzia mwaka 1970 hadi 1976 Julai na [[Jamhuri ya Watu wa China]] kama zawadi kwa mataifa ya Zambia na Tanzania. Ujenzi ulitekelezwa na wafanyakazi Wachina zaidi ya 20,000.
 
Shabaha ya mradi ilikuwa hasa kisiasa ililenga kuanzisha usafiri kwa ajili ya shaba ya Zambia usiotegemea mabandari ya [[Afrika Kusini]] na [[Msumbiji]]. Msumbiji wakati ule ilikuwa koloni ya Ureno na Afrika Kusini ilitawaliwa kwa mfumo wa [[apartheid]] (siasa ya ubaguzi wa rangi). Zambia chini ya serikali ya Kenneth Kaunda iliunga mkono upinzani dhidi ya apartheid na ukoloni ikaona aibu ya kutegemea nchi hizi kiuchumi. China ilitaka kuimarisha msimamo kati ya mataifa huru ya Afrika ikajitolea kujenga reli kwa kuipa Zambia njia nyingine ya kufikia bahari.
 
 
 
== Viungo vya Nje ==