Mwezi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 35:
Uso wa mwezi unajaa mashimo ya [[kasoko]] yaliyosababishwa kwa kugongwa na [[meteoridi]]. Mwezi hauna [[angahewa]] inayozuia mapigo ya [[meteoridi]] ndogo au kupunguzu nguvu yao jinsi ilivyo duniani.
 
[[Picha:Earth Moon Scale.jpg|thumb|center|800px|Picha inayoonyesha umbali baina ya dunia na mwezi kulingana na ukubwa waowake. Umbali wa wastani baina ya mwezi na dunia ni [[kilomita]] 384,400. Kipenyo cha mwezi ni takriban robo moja ya kipenyo cha dunia. <ref name="umbali_mwezi_dunia" />.]]
 
== Mwezi kama kipimo cha wakati ==
Mstari 48:
 
== Safari kwenda mwezini ==
[[Picha:Apollo 11 bootprint.jpg|thumb|right|180px|[[wayo|Nyayo]] za mwanaanga [[Edwin Aldrin]] mwezini &lt;br /&gt;(Apollo 11) mwezini.]]
Mwezi wetu ni [[gimba la angani]] la kwanza ambako wanadamu wamefika. Tarehe [[21 Julai]] [[1969]] [[mwanaanga]] [[Mmarekani]] [[Neil Armstrong]] alikuwa mtu wa kwanza wa kukanyaga uso wa mwezi. Wamarekani 11 walimfuata hadi mwaka [[1972]]. Baadaye safari za kwenda mwezini hazikufanywa tena kutokana na gharama kubwa.