[[Picha:Liver (PSF)01 animation1.pnggif|alt=Ini|thumb|255x255px|Ini]]
'''Ini''' ni [[kiungo ]] cha [[mwili]], hasa wa [[binadamu]] na [[Mnyamamnyama|wanyama]] wa hali ya juu.
== YaliyomoKazi ==
Ini linafanya [[kazi]] nyingi muhimu katika mwili: ▼
[[null ficha]]
* Ini linatengeneza [[nyongo]] - ni [[kimiminika]] king'aavu cha [[njano ]] chenye ukijani u[[kijani]] ambacho kinakwenda kwenye [[utumbo mwembamba]] <nowiki/> ambacho kinasaidia kumeng'enya [[vyakula]] tunavyokula. ▼
* [[Ini#Kazi|1Kazi]]
* Ini linatunza [[glukosi]] tukila kisha linaweka kwenye [[damu]] wakati glukosi ya kwenye damu ikiwa ndogo. Hii hutokea wakati mtu anahisi [[njaa]]. ▼
* [[Ini#Magonjwa ya ini|2Magonjwa ya ini]]
** [[Ini#Dalili za magonjwa ya ini|2.1Dalili za magonjwa ya ini]]
** [[Ini#Aina za magonjwa ya ini|2.2Aina za magonjwa ya ini]]
** [[Ini#Tiba kwa magonjwa ya ini|2.3Tiba kwa magonjwa ya ini]]
== Kazi[hariri | hariri chanzo] ==
▲Ini linafanya [[kazi]] nyingi muhimu katika mwili:
▲* Ini linatengeneza [[nyongo]] - ni [[kimiminika]] king'aavu cha njano chenye ukijani ambacho kinakwenda kwenye [[utumbo mwembamba]]<nowiki/>ambacho kinasaidia kumeng'enya [[vyakula]] tunavyokula.
▲* Ini linatunza [[glukosi]] tukila kisha linaweka kwenye [[damu]] wakati glukosi ya kwenye damu ikiwa ndogo. Hii hutokea wakati mtu anahisi [[njaa]].
* Ini linatuwezesha kuishi.
* Ini linachukua [[protini]] na [[mafuta]] na kugeuza kuwa glukosi, hii ni muhimu wakati mtu hajala kwa muda mrefu.
* Pia ini linatengeneza mafuta na [[kolestro]]
* Ini humeng'enya vitu vingi kwenye damu.
* Ini linatengeneza protini.
== Magonjwa ya ini[hariri | hariri chanzo] ==
[[Magonjwa]] ya ini yanaweza kumfanya mtu aumwe sana sababu ya [[kazi]] muhimu za kiungo hicho. Yapo magonjwa mengi ya ini. Watu ambao wana magonjwa mabaya ya ini huwa wanakufa; ili kuokoa [[maisha]] yao wenyewe itawabidi kupandikiziwa ini jingine. Hii ni kwamba, ini la mtu mwingine ambaye amekufa huamishwa kwa mtu mwingine kwa [[upasuaji]]. Upasuaji huo huwa na changamoto za kitaalamu lakini inaweza kuokoa [[uhai]].
=== Dalili za magonjwa ya ini[hariri | hariri chanzo] ===
[[Dalili ]] za magonjwa ya ini hutokea kwa sababu ini halifanyi kazi inavyotakiwa:
Ini likishindwa kuyeyusha [[sumu]] na [[uchafu]], hivi vitu vichafu vitakaa kwenye [[damu]] kwa muda mrefu. Kitu kimoja ambacho kinajijenga ni [[bilirubini ]] ([[dutu ]] ya [[njano ]] inayoipa [[nyongo]] [[rangi]] ya njano), [[seli nyekundu za damu]] zinapokufa, [[hemoglobini]] iliyopo kwenye hizo seli zikivuja kwenye damu [[hemoglobini]] huwa bilirubini. Ini huchukua bilirubini hiyo nje ya damu na kuweka kwenye nyongo, nyongo huenda kwenye [[utumbo]], kisha hutolewa nje pamoja na uchafu kutoka mwilini. Kama ini likipata matatizo, halitatoa bilirubini, kwa hiyo bilirubini itakaa mwilini: hii hufanya mtu aonekane wanjano na inajulikana kama [[homa ya manjano]]. Kwa hiyo [[macho]] na [[ngozi]] kuwa ya njano ni dalili za magonjwa ya ini.
Dalili nyinginezo ni:
* Kutokwa damu kwa sababu ini halitengenezi [[protini ya ugandishaji ]] ya kutosha
* Kuvimba mwili
* Kuchoka sana kwa sababu [[amonia]] ya ziada haiyeyushwi na ini
* Kutokwa damu kwenye [[vena]] kubwa zilizovimba
=== Aina za magonjwa ya ini[hariri | hariri chanzo] ===
[[Homa ya ini]] (kwa [[Kiingereza]] ''hepatitis''): hii hutokea kama seli za ini zikiugua. Hii inaweza kutokana na [[maambukizi ya virusi]]. Pia inaweza kusababishwa na [[sumu]]. Sumu kuu ambayo mara kwa mara husababisha hii ni [[kileo ]] ([[pombe]]). Inaweza ikawa ki[[jenitikia]], au sababu za [[mfumo wa kingamwili]] wenyewe.
[[Kusinyaa kwa ini ]] (kwa Kiingereza ''cirrhosis''): hii husababishwa na kufa kwa [[seli]] za ini ambao hutokea tena na tena. Kama seli za ini zikifa, [[tishu]] za makovu ma[[kovu]] hujiunda. Hizi tishu huharibu muundo wa ini, hii hufanya ini lisifanye kazi vema. Lakini pia hufanya [[shinikizo ]] kwenye [[vena]] ambayo huenda kwenye ini kubwa sana.
Unaweza pia kupata [[saratani]] ya ini. Hii inaweza ikawa saratani ya kuathiri sehemu nyinginezo ambayo inaweza kutokea kwenye sehemu nyingine kwenye mwili wako.
=== Tiba kwa magonjwa ya ini[hariri | hariri chanzo] ===
Magonjwa mengine ya ini hutibika kirahisi kwa [[dawa]].
[[Virusi]] vingine vya ini vinaweza kuzuiwa kabla havijaanza kwa [[chanjo]].
Magonjwa mengine ya ini yanaweza tu kutibika kwa kupandikiza ini jingine.
{{mbegu-anatomia}}
[[Jamii:Viungo vya mwili]]
[[Jamii:Ini]]
|