Msitu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Orman.JPG|right|thumb|220px|Msitu.]]
[[File:Stara planina suma.jpg|thumb|Msitu wa [[Stara Planina]], [[Serbia]].]]
'''Msitu''' ni mkusanyiko wa [[uoto asilia]] unaojumuisha [[miti]] mingi ya aina mbalimbali (kwa mfano: [[mipingo]], [[mikoko]] n.k.) [[mimea]] na [[nyasi]] ambazo huweza kuwa fupi au ndefu.
 
Misitu inaweza kuwa za aina mbili:
Maana ya msitu.
* ya asili au
Msitu ni mkusanyiko wa miti mingi ya aina tofauti tofuti.mf mipingo,mikoko n.k
Misitu inaweza kuwa ya asili au* ya kupandwa na binadamu (isiyo ya asili).
Aina za misitu
Kuna aina mbili za misitu 1.misitu ya kupandwa
2.misitu ya asili
 
Misitu inaweza kuwa ya asili au ya kupandwa na binadamu (isiyo ya asili).
 
Misitu ya asili ni misitu ambayo huota yenyewe bila kupandwa na mwanadamu. Kwa mfano, msitu wa [[Hifadhi ya taifa ya Udzungwa|Udzungwa]] ([[Mkoa wa Morogoro]], [[Tanzania]]).
Line 50 ⟶ 46:
*uhalibifu wa makazi ya wanyama.
 
Hivyo ni bora kutunza misitu kwa ajili ya manufaa yetu sisi na vizazi vijavyo. Ni muhimu kuwashaurikushauri watu watunze sana vyanzo vya asili kama misitu: hii ni kwa faida yetu wenyewe, inatusaidia hata kupata mvua kwa wingi.
 
{{mbegu-biolojia}}