Michezo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Michezo''' ni [[amali]] au ma[[zoezi]] ya ki[[mwili]] ambayo mara nyingi yana [[ushindani]] ndani yake. Yanatendeka kufuatana na kawaida na taratibu maalumu zilizokubaliwa kati ya wachezaji au katika [[jamii]].
Mstari 10:
Tangu kale watu wamekutana kwa mashindano makubwa ya michezo kati ya jamii, ma[[kabila]] au ma[[taifa]]. Kati ya mashindano mashuhuri hasa ni [[Michezo ya Olimpiki]] iliyofanyika awali [[Ugiriki wa Kale]] na sasa inafanyika kwa ushiriki wa mataifa yote duniani kila baada ya miaka minne.
Kwa nchi ya [[Tanzania]] michezo inayopendwa sana ni: [[mpira wa miguu]],
{{michezo}}
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Michezo|*]]
[[Jamii:Utamaduni]]
|