Wanyama wa nyumbani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Nyongeza jina
No edit summary
Mstari 1:
'''Wanyama wa nyumbani''' au '''wanyama-kaya''' ni wale [[wanyama]] ambao huishi katika [[mazingira]] ambayo [[mwanadamu]] anaishi. Wanyama hao wanapatana na wanadamu, nao ni kama vile [[kuku]], [[mbwa]], [[mbuzi]], [[kware]], [[ng'ombe]] na wengine wengi.
 
[[File:Zubron2.jpg|thumb|[[ Ng'ombe aina ya Żubroń]], [[European bison|ng'ombe]] na mseto wa mifugo]]
Wanyama hawa wana [[faida]] katika maisha ya wanadamu; kwa mfano ng'ombe hupatia watu [[maziwa]], [[nyama]], pia [[ngozi]] yake inaweza kutumika kutengeneea vitu mbalimbali.