Rukwa (ziwa) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1143935 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 12:
}}
'''Ziwa Rukwa''' ni [[ziwa]] kubwa la [[Ziwa la Magadi|magadi]] nchini [[Tanzania]]. Liko upande wa
==Jiografia==
Ziwa liko
Beseni ya ziwa line eneo la takriban 80,000 [[km²]]. Urefu na upana wake hubadilikabadilika kulingana na kiasi cha mvua inayonyesha. Kati ya mito inayoingia ni mto wa [[songwe (mto)|Songwe]] pekee ulio na maji muda wote. Kuna taarifa ya kwamba ziwa lilipotea wakati mwingine isipokuwa beseni ndogo upande wa kusini Songwe inapoingia hubaki na maji. Kama maji ni mengi ziwa lina urefu wa kilomita 180.
==Mazingira==
Eneo la ziwa ni kavu sana na maji yake ni ya magadi. Kwa hiyo hakuna vijiji mbali na mito hasa upande wa kusini. Majirani ni hasa [[Wafipa]] na [[Wasafwa]].
==Tanbihi==
<references/>
==Viungo vya
*[http://www.aquanet.de/beitraege/Topthema.20040729144051648.asp Bericht eines Reisenden]
[[Category:Maziwa ya Tanzania]]
|