Ateri : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Circulatory System en edited.svg|alt=ateri kuu za mwili|thumb|318x318px|Ateri kuu za [[mwili]].]]
[[Picha:Blausen 0055 ArteryWallStructure.png|thumb|Ufafanuzi wa arteri.]]
'''Ateri''' (pia '''arteri''', kutoka [[neno]] la [[Kigiriki]] ''ἀρτηρία'', Artēria)''artēria'', nikupitia [[mishipaKiingereza]] ya''artery'') damuni [[mshipa]] inayobebawa [[damu]] unaopeleka damu nje ya [[moyo]] wa [[binadamu]] na [[wanyama]] kadhaa. Hivyo ateri ni sehemu ya [[mfumo wa mzunguko wa damu]].
 
AteriMshipa nihuu hubeba damu yenye [[oksijeni]] kutoka kwenye moyo kwenda sehemu yazote za [[mfumomwili]]. wa[[Mwili]] mzungukounatumia waoksijeni damukutengeneza [[nguvu]]. Ateri nyingi hubeba [[oksijeni]], ila ateri pekee isiyobeba oksijeni ni [[Ateri ya pulmonarimapafu]].
 
Ateri zina safu [[tatu]]. Safu ya nje ni nene na inaundwa na [[tishu]]. Safu ya kati inaundwa na [[misuli]], kwa hiyo ateri inaweza [[kupanuka]] au [[kusinyaa]], wakati safu ya ndani inaundwa na [[seli]] ambazo zipo pia kwenye [[moyo]].
 
Mshipa wa arteri hauwezi kuuona kwa [[macho]] tu, ila unaweza kuuona kwa kutumia kifaa kiitwacho [[hadubini]].
 
==Ateri muhimu==
Kuna aina mbili za arteri:
[[Aorta]] ni ateri kuu kwenye [[mwili]]: inaanza kwenye [[ventriko ya kushoto]] ya moyo ambayo ina damu iliyobeba oksijeni kutoka kwenye [[mapafu]].
* [[Aorta|Arteri kuu (aorta)]]
* [[Arteri mapafu]]
 
=== Arteri kuu (aorta) ===
[[Picha:Heart, aorta and pulmonary artery.jpg|thumb|Mshipa wa aorta unavyoonekana kwenye moyo]]
[[Aorta]] (au ''aota'') ni ateri kuu kwenye [[mwili]]: inaanza kwenye [[ventriko ya kushoto]] ya moyo ambayo ina damu iliyobeba oksijeni kutoka kwenye [[mapafu]].
 
Aorta ni mshipa mkubwa kuliko mishipa yote katika mwili wa [[binadamu]].Mshipa huu hushukua damu yenye oksijeni kwenye moyo kwenda sehemu zote za mwili.
 
Mshipa huu hugawanyika katika mishipa midogomidogo iitwayo [[kapilari|mishipa ya kapilari]].
 
=== Arteri mapafu ===
[[Picha:Pulmonary Artery Catheter.png|thumb|Mshipa wa arteri ya mapafu.]]
[[Arteri mapafu]] ni aina ya arteri inayosafirisha damu isiyo na oksijeni kutoka kwenye moyo kwenda kwenye [[mapafu]].
 
[[Ateri ya mapafu]] ni ateri pekee
* isiyoungana na aorta
* inayobeba damu isiyo na oksijeni.
 
[[Mwili]] unatumia oksijeni kutengeneza [[nguvu]].
 
{{mbegu-anatomia}}
[[Jamii:Damu]]
[[Jamii:Anatomia]]