Figo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Figo''' ni [[kiungo]] cha [[mwili]] ambacho kazi yake ni cha kutatanisha: mafigo yanafanya kazi mbalimbali muhimu katika mwili wa [[binadamu]]. Ila kazi yake kuu ni kusawazisha [[maji]] ndani ya mwili kwa kuchuja na kusitiri bidhaa za chembechembe (kama vile [[urea]]) na [[minerali]] katika [[damu]] na kuchuja hizo, pamoja na maji na [[mkojo]]. ▼
▲
Kwa maana mafigo yameumbwa kuhisi ukolezi wa [[plazma]] ya ioni kama vile [[sodiamu]], [[potasiamu]], [[hidrojeni]], [[oksijeni]] ([[hewa]]) na msombo kama vile [[asidi amino]], kreatini, bikaboneti na [[glukosi]], mafigo yanasawazisha [[shinikizo la damu]], hali ya ujenzi wa glukosi katika chembechembe, na erithropoesisi (yaani maendeleo ya kazi ya kutengeneza [[selidamu nyekundu]]). ▼
▲Kwa maana
[[Sayansi]] ichunguzayo mafigo na [[maradhi ya figo]] inaitwa [[nefrolojia]]. Kiambishi awali, "nefro-" imaanishayo figo imetoka kwa [[lugha]] ya [[Kigiriki cha kale]], "nefros (νεφρός)", kitambulishi "-a figo", maana yake kuchujia kumetoka kwa [[Kilatini]] ''rēnēs'' kumaanisha mafigo.▼
▲
Mafigo yapo nyuma ya [[utambi]] na [[kipimo]] chake ni [[sentimeta]] 9 mpaka 13 kwa [[kipenyo]], [[kipimo]] cha figo la kushoto ni kikubwa zaidi kidogo kuliko cha la kulia. Yapo kwenye ukolezi wa mwiba T12 na L3. Upande wa sehemu za juu ya figo zimehifadhiwa na [[ubavu]] wa kumi na moja na wa kumi na mbili, katika kila figo pamoja na [[tezi ya adrenali]] zimefunikwa na [[ngozi]] mbili zenye [[mafuta]] na renal fascia inayosaidia kuimarisha figo. ▼
▲
Watu wachache wamezaliwa na figo moja tu, hawa hujulikana kama unilateral agenesis (kwa [[Kiingereza]]), pia kuna watu wachache waliozaliwa bila figo lolote, hali hiyo inajulikana kama bilateral agenesis. ▼
▲Watu wachache wamezaliwa na figo moja tu, hawa hujulikana kama [unilateral agenesis]
Mafigo yanapata [[damu chafu]] kwenye [[mkole wa tumbo]] ambayo imegawika katika matawi mawili, [[ateri]] moja kwa upande wa kulia na nyingine kwa upande wa kushoto. Kisha [[damu]] ambayo imeshakwisha kuchujika inarudia tena kwenye [[vena]] ya [[damu safi]], inayoelekea kwa [[vena kava]] ya chini ya kuendelea mpaka [[moyo]]ni. Damu safi inakadiri [[asilimia]] 20-25 za uzalishaji wa moyo (cardiac out put).▼
▲
|