Nyuki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Masahihisho |
||
Mstari 34:
Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi hili nao ni:
* Malkia wa nyuki
* Nyuki wafanyakazi
* Nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kumpanda malkia ambaye si yule wa mzinga wake kwa kawaida; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena.
* Ni jinsi gani nyuki wanaweza kutambuana katika kundi? Kwa kawaida nyuki huwa wanaishi kifamilia, familia moja haiwezi kwenda kwenye familia nyingine. Kwa nini hawawezi? Hawawezi kwa sababu nyuki hutambuana kwa kutumia [[harufu]] itokanayo na [[malkia]]. Kila malkia huwa na harufu yake, kwa hiyo kundi moja haliwezi kwenda kwenye kundi jingine kwa sababu hayafanani harufu. Ikitokea nyuki mmoja amepotea na akaingia kwenye kundi jingine, wale nyuki vibarua watakachokifanya ni kumuangalia kuwa kaja na nini. Kama amebeba chakula, watamuacha aweke chakula kisha wataamua kumuua au wamuache aondoke. Mara nyingi huwa wanamuua tu!
* Nyuki wanapeperusha mabawa yao ili kutoa maji kwenye nekta na kusambaza harufu za mawasiliano. Huyu nyuki mtenda kazi anatoa harufu kutoka kwa mfuko wake wa ndani ili kuvutia wenzake kuungana naye. Hawa nyuki
* Nyuki
==Viungo vya nje==
Mstari 45:
{{mbegu-mdudu}}
[[Jamii:Nyuki na jamaa]]
|