Ushairi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:GilgameshTablet.jpg|rightthumb|200px|Kibao cha [[Gilgamesh]].]][[Picha:Beowulf.firstpage.jpeg|thumb|200px|Shairi la [[Beowulf]].]]
'''Ushairi''' ni [[utungo]] wa [[sanaa|kisanaa]] ulio na madhumuni ya kutumbuiza au kuelimisha. Tena, ushairi ni [[tawi]] mojawapo la [[fasihi andishi]]. Kinyume chake ni [[nathari]].
 
Mstari 6:
Ushairi una [[historia]] ndefu. Kwa mfano, [[mwanafalsafa]] [[Aristotle]] katika [[kitabu]] chake ''Ushairi'' ("Poetics" kwa [[Kiingereza]]) anachunguza matumizi yake katika [[hotuba]], tamthiliya, nyimbo na [[futuhi]].
 
Ushairi una vipera vitano ambavyo ni:
[[Picha:Beowulf.firstpage.jpeg|right|200px|Shairi la Beowulf]]
 
1. nyimbo
 
2. ngonjera
 
3. shairi
 
4. maghani na
 
5. tenzi.
 
== Marejeo ==