Dodoma (mji) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit |
Tengua pitio 1008230 lililoandikwa na 197.250.224.226 (Majadiliano) |
||
Mstari 17:
}}
'''[[Dodoma]]''' ni [[mji]] wa Tanzania ya kati. Imetangazwa kuwa [[mji mkuu]] wa [[Tanzania]] mwaka
Mji ni pia [[makao makuu]] ya [[Mkoa wa Dodoma]] na eneo lake linahesabiwa kama '''Wilaya ya Dodoma'''.
Eneo la mji liko 1135 [[m]] juu ya [[UB]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], mji wa Dodoma ilikuwa na wakazi wapatao 410,956 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Dodoma - Dodoma MC]</ref> waishio humo. ▼
▲Eneo la mji liko
==Uchumi==▼
Kiuchumi ni kitovu cha biashara ya kilimo cha [[karanga]], [[maharagwe]], [[alizeti]] na [[mizabibu]], pamoja na [[mifugo]] na [[kuku]]. ▼
== Asili ya jina ==▼
Dodoma kuna makao makuu ya [[Kanisa la Biblia Publishers]] pamoja na [[Emmaus Shule ya Biblia]]. Nice day people▼
Neno "Dodoma" linasemekana kumetokana na [[neno]] la [[
== Historia ==▼
Dodoma ilianzishwa wakati wa [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani|ukoloni wa Kijerumani]] kama kituo kwenye reli ya kati penye [[karahana]] ya reli. Tangu mwaka [[1912]] imekuwa makao makuu ya mkoa.
Mwaka [[1913]] Dodoma ilikuwa na [[posta]], [[simu]], [[hoteli]] na [[duka|maduka]] 26 (moja ya [[Mzungu]], mengine ya [[Wahindi]] na [[Waarabu]]). Kikosi cha [[polisi]] kilikuwa na [[askari]] 59.
Dodoma imeendelea kuwa mji mdogo mpaka kutangazwa kuwa mji mkuu. Azimio hili lilileta [[ujenzi]] wa maofisi kadhaa ya [[serikali]].
Hali halisi [[bunge]] lilikuwa linakutana Dodoma lakini makao ya kikazi ya serikali ya Tanzania yalibaki [[Dar Es Salaam]] pamoja na [[ikulu]] ya [[rais]] hadi mwaka [[2016]]. Ndipo kwa amri ya rais mpya, [[John Magufuli]], sehemu kubwa ya ofisi za [[wizara]] zimepelekwa Dodoma.
▲==Uchumi==
▲[[Uchumi|Kiuchumi]] ni [[kitovu]] cha kilimo na [[biashara]] ya
==Elimu==
[[Elimu]] inahitaji kuboreshwa, hasa maeneo ya [[Kijiji|vijijini]], maana ndio mji mkuu: hivyo kunahitajika kuboreshwe zaidi.
== Mawasiliano ==
[[Mawasiliano]] ni mazuri kwa [[barabara]] ya [[lami]] kuanzia mji wa Dodoma kwenda [[Morogoro (mji)|Morogoro]] - [[Dar Es Salaam
Kuna pia njia ya [[reli ya kati]] kutoka Dar es Salaam kwenda [[Kigoma]] yenye matatizo ya mara kwa mara.
▲== Asili ya jina ==
▲Neno "Dodoma" linasemekana kumetokana na neno la [[kigogo]] "dodomia" kufuatili historia kwamba zamani kuna tembo alikuja pale mjini akakita nyayo zake ardhini akiacha alama ya nyayo zake zimedidimia.
Dodoma ina [[uwanja wa ndege]] wa kitaifa na [[vyuo vikuu]], kikiwemo kile kikubwa zaidi [[Afrika Mashariki]].
▲== Historia ==
▲Dodoma ilianzishwa wakati wa [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani|ukoloni wa Kijerumani]] kama kituo kwenye reli ya kati penye karahana ya reli. Tangu 1912 imekuwa makao makuu ya mkoa. 1913 Dodoma ilikuwa na posta, simu, hoteli na maduka 26 (moja ya mzungu, mengine ya Wahindi na Waarabu). Kikosi cha polisi kilikuwa na askari 59.
▲Dodoma kuna makao makuu ya [[Kanisa la Biblia Publishers]] pamoja na [[Emmaus Shule ya Biblia]].
▲Dodoma imeendelea kuwa mji mdogo mpaka kutangazwa kuwa mji mkuu. Azimio hili lilileta ujenzi na maofisi kadhaa ya serikali. Kwa ujumla uhamisho unaendelea kuchelewa kwa sababu mbalimbali; sababu muhimu ni ya kwamba watumishi wa serikali na wanasiasa walio wengi hawapendi kuondoka katika jiji halisi na kuhamia mji mdogo ambao ni mbali sana na mazingira waliyoyazoea. Menginevyo kuna matatizo ya kifedha ambayo yamesaidia haidi sasa kutangaza nia ya kuhami lakini kubaki palepale.
==Picha==
<gallery class="float-right" perrow=3 widths=250px>
File:Klb_dodoma.jpg|Kanisa la Biblia▼
File:000 1333 Dodoma Cathedral.JPG|Kanisa Kuu la Anglikana, Dodoma Mjini▼
File:Gaddafi Mosque.jpg|Msikiti wa [[Gaddafi]] ▼
File:Nyerere Square in Dodoma.jpg|Uwanja wa [[Nyerere]]
File:University of Dodoma.jpg|[[Chuo Kikuu cha Dodoma]]
▲File:Klb_dodoma.jpg|Kanisa la [[Biblia]]
</gallery>
|