Tana (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Tana 39.41642E 0.95086S.jpg|thumb|[[Chanzo]] cha Tana ([[picha]] kutoka Angani[[Anga|angani]]).]]
[[Picha:DM-SD-02-04679.jpg|thumb|Tana 1998 wakati wa [[El Nino]].]]
[[Picha:DM-SD-01-06042.jpg|thumb|Tana 1998 wakati wa [[El Nino]].]]
 
'''Tana''' ni [[mto]] mrefu wakuliko yote ya [[Kenya]] ukiwa na [[urefu]] wa takriban 650 [[km]] 650. [[Chanzo]] chake ni [[milima]] ya [[Aberdare]] [[magharibi]] yakwa [[Nyeri]]. Mwanzoni inelekeaunelekea [[mashariki]], halafu ina pindeinapinda kuzunguka [[Mlima Kenya]] upande wa [[kusini]].
 
Kisha huingia ndani ya [[bwawa|mabwawa]] ya [[Masinga]] na [[Kiambere]] yaliyotokana na [[bwawa la Kindaruma]]. Chini ya [[bwawa]] mto huu hugeuka kuelekea [[kaskazini]] na kutiririka mpaka wa kaskazini-kusini kati ya [[Meru]] na [[Kitui Kaskazini]] na [[Bisanadi]], [[Kora]] na [[Hifadhi ya wanyama ya Rabole]]. Ndani ya hifadhi hugeuka kuelekea mashariki, na kisha kusini mashariki.
 
BaadhiKati ya mito inayoingia mto wa Tana ni [[Thika (mto)|mto wa Thika]].
 
Inapita [[miji]] ya [[Garissa]], [[Hola]] na [[Garsen]] kabla ya kufika [[Bahari Hindi]] kwenye [[Ghuba ya Ungwana]].
 
{{mito ya Kenya}}
{{mbegu-jio-Kenya}}
 
[[Jamii:Mito ya Kenya]]