Kaa (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
[[Picha:Saratani Cancer.jpg|thumb|400px|Nyota kuu za Saratani (Cancer) jinsi zinavyoonekana angani. <br/> <small>Mistari imeongezwa kwenye picha tu</small>]]
[[Picha:Cancer constellation map.png|350px|thumb|Ramani ya kundinyota Saratani]]
'''Saratani'''
[[Nyota]] za Saratani huwa haziko pamoja kihalisi lakini zinaonekana tu vile kutoka duniani. Kwa uhalisi kuna umbali mkubwa kati yao, kama ziko mbali au jirani nasi.
Mstari 9:
==Jina==
Saratani ilijulikana kwa jina hili kwa miaka mingi kati ya mabaharia Waswahili waliotumia nyota kutafuta njia baharini wakati wa usiku.<ref>ling. Knappert 1993</ref>
Jina la Kiswahili ni Saratani na linatokana na Kiarabu <big>سرطان </big> ''sartan'' linalomaanisha kaa. Jina hili lilipokelewa na Waarabu kutoka kwa [[Wagiriki wa Kale]] waliosema Καρκίνος ''karnikos'' kwa maana hiyohiyo na hao walipokea kundinyota hii tayari kutoka [[Babeli]] lakini Wabebli waliiona kama alama ya kobe ya maji. ▼
▲Jina la
Katika unajimu wa kisasa katika Afrika ya Mashariki jina "Saratani" limesahauliwa ikiwa kundinyota inaitwa kwa tafsiri tu "Kaa".
|