Sakuramachi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 21 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q313870 (translate me)
+picha
Mstari 1:
[[Picha:Emperor_Sakuramachi.jpg|right|thumb|Mchoro wa Sakuramachi]]
'''Sakuramachi''' ([[8 Februari]] [[1720]] – [[28 Mei]] [[1750]]) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (''[[Tenno]]'') wa [[Japani]]. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa ''Teruhito''. Tarehe [[13 Aprili]] [[1735]] alimfuata baba yake, [[Nakamikado]], na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe [[9 Juni]] [[1747]]. Aliyemfuata ni mwana wake, [[Momozono]].