Waikizu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
d Masahihisho aliyefanya Mtongori (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Magdalena William
Mstari 1:
'''Waikizu''' ni [[Watuwatu]] wa [[kabila]] la [[Tanzania]] ambao wanaishiwanaoishi katika [[Mkoa wa Mara]]. [[Lugha]] yao ni [[Kiikizu]]: lugha hiyo inafanana sana na lugha ya [[Wazanaki]] na [[Wakurya]] na asili ya lugha hizi tatu ni moja, ila kuna tofauti ndogo za [[lahaja]].
 
Kabila hilo linapatikana hasa katika [[wilaya ya Bunda]], eneo maarufu linaloitwa [[Ikizu]].
 
Watu wa jamii hiyo hujihusisha na [[shughuli]] za [[Kilimokilimo]] na [[Ufugajiufugaji]] ingawa pia [[uwindaji]] ulikuwa ukifanyika enzi za kale katika [[mbuga]] za [[wanyama]]. [[Zao]] kuu la biashara ni [[pamba]] na zao la [[chakula]] ni [[mahindi]] pamoja na [[mihogo]] ([[ugali]] we udaga).
 
Waikizu ni watu jasiri sana na watu ambao wanajali sana mila zao na kulinda [[utamaduni]] wao dhidi ya mabadiliko mbalimbali yanayotokea katika mazingira. Moja ya sifa nyingine za Waikizu ni [[uvumilivu]].