Mkoa wa Manyara : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
→‎Majimbo ya bunge: wabunge 2015
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Tanzania Manyara location map.svg|right|thumbnail|260px|Mkoa wa Manyara katika Tanzania]]
[[Picha:TZ Manyara wilaya.gif|thumb|260px|Wilaya za Mkoa wa Manyara]]
'''Mkoa wa Manyara''' ni kati ya [[mikoa]] 2631 zaya [[Tanzania]]. Umepakana na mikoa ya [[BabatiMkoa wa Arusha|Arusha]] ndiyona [[makaoMkoa makuuwa Kilimanjaro|Kilimanjaro]] upande wa [[kaskazini]], [[Mkoa wa Tanga]] upande wa [[mashariki]], [[Mkoa wa Dodoma]] upande wa [[kusini]] na mikoa ya [[mkoaMkoa wa Singida|Singida]] na [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]] upande wa [[magharibi]].
 
Umepakana na mikoa ya [[Mkoa wa Arusha|Arusha]]Manyara umetengwa na [[Mkoa wa Kilimanjaro|Kilimanjaro]]Arusha upande wamwaka [[kaskazini2002]], [[Mkoakwa waazimio Tanga]] upande wala [[masharikirais]], [[Mkoa wa Dodoma]] upande wa [[kusini]] na mikoaJamhuri ya [[MkoaMuungano wa Singida|SingidaTanzania]] ukiwa na [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyangaeneo]] upande wala [[magharibikm²]] 46,359.
 
[[Babati]] ndiyo [[makao makuu]] ya [[mkoa]].
Mkoa wa Manyara umetengwa na Mkoa wa Arusha mwaka [[2002]] kwa azimio la [[rais]] wa [[Jamhuri ya Muungano wa Tanzania]] ukiwa na [[eneo]] la [[km²]] 46,359.
 
== Wakazi ==
Jumla ya wakazi mkoani ilikuwa 1,425,131 katika [http://web.archive.org/web/20031215151421/http://www.tanzania.go.tz/census/census/manyara.htm [[sensa]] ya mwaka 2012.]
Idadi hiyo imepatikana katika [[wilaya]] zifuatazo (idadi ya wakazi katika mabano mwaka 2002): Babati (303,013), Hanang (205,133), Mbulu (237,882), Simanjiro (141,676) na Kiteto (152,757).
 
Sensa zinaonyesha kuonyesha kwamba ni kati ya [[mikoa ya Tanzania]] yenye ongezeko kubwa la wakazi. Pia ni kati ya mikoa yenye [[maambukizi]] machache zaidi ya [[Ukimwi]].
 
Wenyeji wa mkoa huu ni pamoja na [[Wairaqw]], [[Wamasai]], [[Wasonjo]], [[Wafyomi]] na [[Wabarbaig]] wakijihusisha na [[shughuli]] za [[kilimo]] na [[ufugaji]] kama njia ya kuingiza kipato chao cha kila siku.
 
Mkoa huu unayo majimbo ya uchaguzi yanayofikia (5) ambayo yanajumuisha majimbo ya Babati, Kiteto, Hanang, Mbulu na Simanjiro.
 
== Wilaya ==
 
Kuna wilaya zifuatazo: [[Wilaya ya Mbulu|Mbulu]], [[Wilaya ya Babati Vijijini|Babati]], [[Babati Mjini]], [[Wilaya ya Hanang|Hanang]], [[Wilaya ya Simanjiro|Simanjiro]] and [[Wilaya ya Kiteto|Kiteto]].
 
==Majimbo ya bunge==
Wakati wa [[uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015]] mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi 7 yafuatayo:
* Babati Mjini : mbunge ni [[Pauline Gekuli]] ([[Chadema]])
* Babati Vijijini : mbunge ni [[Jitu Vrajilal Soni]] ([[CCM]])