Ruvu (Pwani) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 20:
'''Ruvu''', iliyoitwa zamani '''Kingani''' pia,<ref>Linganisha makala "Kingani" katika [[Kamusi ya Koloni za Kijerumani]]: ''"Kingani oder Ruwu (d. i. Fluß)"'' - yaani Kingani au Ruvu (maanake mto)"</ref> ni [[mto]] wa [[Mkoa wa Morogoro]] na [[Mkoa wa Pwani]] nchini [[Tanzania]].
 
Unapokea hasa [[maji]] ya upande wa [[mashariki]] wa [[milima]] ya [[Uluguru]] na kuyapeleka [[Bahari Hindi]]. Ruvu hii haina uhusiano na [[mto Jipe Ruvu]] upande wa [[Kilimanjaro]] / [[Upare]].
 
==Beseni yala mto==
[[Beseni]] yala mto inalina eneo la takriban [[kilomita za mraba]] 17,700 <ref>[http://www.globalwaters.net/wp-content/uploads/2012/02/iWASH_RatingCurve_Ruvu_River_508.pdf Developing Rating Curves in the Ruvu River Sub - basin], taarifa kwa mradi wa Tanzania Integrated Water, Sanitation and Hygiene (iWASH) Program, ilitazamiwa kwenye tovuti ya globalwaters.net mnamo Mei 2016</ref>
 
Ndani yake kuna maeneo matatu ya utiririshaji yaani, Ruvu ya Juu, [[mto Ngerengere|Ngerengere]] na Ruvu ya Chini. Ruvu ya Juu inapokea maji kutoka mtelemko wa [[mashariki]] wa Uluguru, Ngerengere kutoka mtelemko wa [[magharibi]] na Ruvu ya chini kutoka milima mingine.
 
[[Tabianchi]] ya beseni inabadilika kati ya mahali na mahali; milima ya juu hupokea [[mvua]] zaidi kuliko [[tambarare]] za chini. [[Mwezi (wakati)|Mwezi]] unaoleta mvua nyingi ni [[Aprili]].