Kundinyota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 10:
Kujumlisha nyota hivi kwa makundi ilikuwa msaada kwa watu kukumbuka na kutambua nyota.
 
Hali halisi nyota hizi hazina uhusiano kati yao, zinaonekana tu kama kundi kwa mtazamaji aliye duniani lakini haziko mahali pamoja anganikatika [[anga la nje]]. Zinaweza kuwa mbali sana kutoka nyota nyingine inayoonekana kamaiko sehemundani ya kundinyota ileile.
 
Hivyo kundinyota ni tofauti na [[fungunyota]] ''([[:en:star cluster]]) ''ambayo ni idadi kubwa ya nyota zilizopo karibu enoeneo moja angani hali halisi. Ila tu kwa jicho tupu fungunyota inaonekana kama nyota moja tu au haionekani kutokana na umbali, zimetambuliwa kwa hadubini tu. [[Kilimia]] (''Pleiades'') ni fungunyota ya pekee inayoweza kutambuliwa bila msaada wa mitambo na hivyo ni maarufu kama kundinyota pia.
 
Kwa jumla ilikuwa msaada wa kutofautisha maeneo angani kama nyota ziliweza kutajwa kuwepo katika eneo la kindinyota fulani linalokumbukwa kirahisi kutokana na ruwaza ya nyota.