Fasihi andishi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
imeandikwa na elisha the great |
||
Mstari 6:
Kulingana na mada ya [[kazi]] ya kifasihi, inawezekana kutofautisha [[bunilizi]] na kazi zinazowakilisha [[ukweli]].
===Tanzu za fasihi andishi===
kuna tanzu kuu nne nazo ni:1.Hadithi fupi
2.Tamthilia
3.Riwaya
4.Mashairi
===Sifa za fasihi andishi===
*Ni mali ya mtu binafsi
*Hupitishwa kwa njia ya mdomo
*Haiwezi kubadilishwa papo kwa papo
*Htumia mbinu za lugha na mbinu za sanaa katika uwasilishaji wake
*Huweza kutunzwa kwa muda mrefu.
===Dhima za fasihi andishi===
*Kukuza lugha
*kuburudisha
*kuelimisha
*kuhifadhi kazi ya sanaa katika maandishi
==Marejeo==
|