Fasihi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 19:
*Mtazamo
 
Fasihi ni tawi la sanaa inayotumia lugha katika kufikisha ujumbe wa msanii kwa hadhira.Hadhira ni wadhira ni wapokeaji wa kazi ya kifasihi. ===SANAA===
==Sifa za fasihi==
Ni ufundi wa kuwasilisha mawazo au ujumbe ulio katika fikra za kibinadamu.
*Fasihi ni utanzu wa sanaa
AINA ZA SANAA.
*Kazi ya fasihi ni kujaribu kusawiri vipengele vya maisha, mahusiano, na hisia za watu katika jamii husika.
kuna aina tatu za sanaa;
*Fasihi ni maelezo ya fani na maudhui.
(I)Sanaa za ghibu.
*Fasihi ni ufundi unaotumia lugha ili kulete mguso au hisia fulani za watu katika muktadha fulani.
(II)Sanaa za maonyesho.
(III)Sanaa za vitendo.
 
DHIMA ZA FASIHI KATIKA MAISHA.
fasihi hufanya kazi mbalimbali katika maisha
(i)Kuelimisha jamii.
(II)Kukuza utamaduni.
(III)Kukuza lugha.
(IV)Kuburudisha jamii.
(V)Kukomboa jamii.
 
AINA ZA FASIHI.
kuna aina mbili za fasihi
(a)Fasihi andishi
(b)Fasihi simulizi
 
==Aina za fasihi==