Dhambi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 63 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q60227 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Dhambi''' ni [[kosa]] la [[kiumbe]] mwenye [[hiari]] dhidi ya [[uadilifu]] unaompasa.
Inaweza kufanyika kwa mawazo, maneno, matendo na kutotimiza [[wajibu]].
[[Maadili]] yanamuelekeza [[binadamu]] katika kutambua dhambi ni zipi pamoja na madhara yake.
Kwa kawaida [[dini]] zinahusianisha kosa hilo na [[Mungu]] aliye [[asili]] ya uadilifu, kwa kuwa ndiye aliyeumba viumbe vyote na kuvielekeza [[Maisha|maishani]].
Akiwapa baadhi ya
Katika [[dini]] zinazofundisha kwamba Mungu alitoa [[ufunuo]] wake hata kwa njia ipitayo [[maumbile]], ni dhambi kwenda kinyume cha ufunuo huo, kwa mfano unavyopatikana katika [[vitabu]] vitakatifu vya dini husika, kama vile [[Biblia]] kwa [[Wayahudi]] na [[Wakristo]] na [[Kurani]] kwa [[Waislamu]].
Kutokana na uenezi wa dhambi kuanzia [[dhambi ya asili]], linajitokeza suala la [[wokovu]].
|