Alfa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q9887 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Alfabeti ya Kigiriki kamili|herufi=Alpha uc lc}}
'''Alfa''' ''(
Katika [[Ugiriki ya Kale]] ilihesabiwa pia kama [[namba]] "1".
Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za
Katika [[astronomia]] inatumiwa kuanza hesabu ya [[nyota]] katika [[kundinyota]]. Kwa mfano nyota yetu jirani katika [[ulimwengu]] inaitwa "[[Alfa Centauri]]". Imeitwa hivyo kwa sababu inang'aa kushinda nyota
Alfa ikiwa herufi ya kwanza ya alfabeti ya Kigiriki hutumiwa pia kwa kutaja mwanzo. Hivyo ni kinyume cha mwisho au [[omega]]. Usemi wa [[Biblia ya Kikristo]] hujulikana kuhusu [[Mungu]] kuwa ni "Alfa na Omega, mwanzo na mwisho" ([[Ufunuo wa Yohane]] 21:6).
[[Jamii:Alfabeti ya Kigiriki]]
|