Urika wa maaskofu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q3682856 (translate me)
No edit summary
 
Mstari 1:
{{Ukristo}}
'''Urika wa maaskofu''' ni [[msamiati]] wa [[teolojia]] ambao unatokeza [[imani]] ya [[Kanisa]] katika [[umoja]] wa [[sakramenti]] ya [[Darajadaraja takatifu]] katika ngazi yake ya juu kuhusu utekelezaji wa [[kazi]] tatu ambazo [[Yesu]] aliwaachia [[Mitume wa Yesu|Mitume]] wake na waandamizi wao kwa njia yao.
 
[[Askofu|Maaskofu]] wote wanaunda kundi hilo kutokana na sakramenti waliyopokea, hata wasipoongoza [[dayosisi|jimbo]] lolote.
 
==Katika Kanisa Katoliki==
Katika utekelezaji wake, [[Kanisa Katoliki]] linadai daima uwepo wa mkuu wa kundi la maaskofu, yaani [[askofu]] wa [[Roma]] akiwa [[mwandamizi]] wa [[mtume Petro]] ("collegialitas cum et sub Petro").
 
Fundisho hilo, lililosisitizwa na [[Mtaguso wa pili wa Vatikano]], linatekelezwa hasa maaskofu wanapokutana katika [[Mtaguso mkuu]], lakini pia katika [[Sinodi]] ya maaskofu]] na miundo mingine ya ushirikiano.
 
Yanayohusu urika wa maaskofu katika [[Mkusanyo wa Sheria za Kanisa]] [[kanisa la Kilatini|la Kilatini]] wa [[mwaka]] [[1983]] yanapatikana katika kitabu II, sehemu II, kanuni 336-341.
 
{{mbegu-Ukristo}}
 
[[Category:Teolojia]]
[[Category:Sheria za Kanisa]]
[[Jamii:Kanisa Katoliki]]