Ufalme wa Bizanti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata) - The interwiki article is not featured |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Byzantine Empire animated.gif|thumb|right|350px|Mabadiliko ya eneo la Bizanti au Roma ya Mashariki]]
'''Ufalme wa
Katika baadhi ya maana, hasa
Wabizanti wenyewe walijiona ni bado Dola la Roma
Hata hivyo, kwa wakati mwingi wa [[historia]] yake, ulifahamika na wenzao wa [[Ulaya magharibi]] kama “Ufalme wa Wagiriki” au “Ufalme wa Konstatinopoli” au "Rhômania".
Lakini majirani wa mashariki kama [[Waarabu]] waliendela kuwaita "Waroma" (kwa [[
Bizanti ilipata mapigo mawili makubwa katika historia yake:
* [[Uvamizi]] wa [[Waarabu]] [[Waislamu]] kuanzia mwaka [[636]] uliosababisha kupotea kwa majimbo ya [[Afrika ya Kaskazini]], [[Misri]] na [[Shamu]]
* Uvamizi wa [[jeshi]] la Wakristo la [[
Shambulio hili lilisababisha [[nguvu]] za [[ufalme]] kufifia kabisa. Hata baada ya
{{mbegu-historia}}
[[Jamii:Dola la Roma]]
[[Jamii:
[[Jamii:Historia ya Ugiriki]]
[[Jamii:Historia ya Uturuki]]
|