Taji : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 5:
 
Linamaanisha [[mamlaka]] yake.
 
Kadiri ya [[Injili]], kwa [[dhihaka]] [[Yesu]] alivikwa [[taji la miba]] ambalo lilimtia [[uchungu]] na maumivu makali [[siku]] ya [[Ijumaa kuu]].
 
Pengine [[watawa]] [[Wanawake|wa kike]] wanavalishwa [[taji la nadhiri]] katika [[sikukuu]] zao.
 
{{mbegu-utamaduni}}