Tufani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Animated hurricane.gif|frame|right|Picha ya [[rada]] ya tufani upande wa kaskazini ya [[ikweta]]]]
[[Picha:Cyclone Catarina from the ISS on March 26 2004.JPG|right|thumb|Picha ya tufani jinsi inavyoonekana kutoka [[kituo cha anga]]]]
'''Tufani''' ni [[dhoruba]] yenye mwendo wa kuzunguka. Inasababishwa na eneo la shindikizo duni la [[hewa]] ambako [[upepo]] imeanzaumeanza kuzunguka ndani yake.
 
Mzunguko huu hufuata mwendo wa [[saa]] katika maeneo ya [[kusini]] yakwa [[ikweta]] na huenda kinyume cha mwendo wa saa katika maeneo ya kaskazini yakwa ikweta.
 
== Chamchela na Kimbunga ==
Tufani ikitokea kwenye [[nchi kavu]] huitwa [[chamchela]].
 
Kwenye [[bahari]] za [[tropiki]] mzunguko unaongezeka nguvu kutoka [[nishati]] ya [[joto]] ya [[maji]] baharini kuwa dhoruba kali. Tufani hizi zinazoanza baharini huitwa [[kimbunga]]. Kimataifa kuna majina mengine yaliyo tofauti kila bahari kama vile:
 
* Katika eneo la [[Atlantiki]] (Karibi hasa [[Karibi]]) kimbunga huitwa hurikan (kiing.kwa [[Kiingereza]] Hurricane)
* katika eno la [[Pasifiki]] Kaskazini kimbunga huitwa taifuni (en: typhoon)
* katika eneo la [[Bahari Hindi]] na Pasifiki Kusini jina la saikloni (en: cyclone) limetumiwa
 
== Tufani katika anga ya nje ==
Tufani zimetazamiwazimetazamwa pia katika [[falaki]] kwenye [[sayari]] za [[mfumo wa jua]] letu kama [[Mshtarii]] na [[Meriki]]. Hasa doa nyekundujekundu kubwa lililoonekana kwenye Mshtarii tangu miaka 178 limetambuliwa kuwa tufani.
 
{{mbegu-sayansi}}