Joatham Mporogoma Mwijage Kamala : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Joatham Kamala.jpg|thumb]]
'''Joatham Mporogoma Mwijage Kamala''' ([[16 Mei]], [[1946]] - [[18 Juni]], [[1998]]), alikuwa ni mwanasiasa, kiongozi na mwanachama wa [[Chama cha Mapinduzi]] (CCM). Alikua na kipawa asilia cha uongozi na utashi mzuri kiasi cha kumgusa Baba wa Taifa la Tanzania, Marehemu Mwalimu [[Julius Kambarage Nyerere]] haswa kwa imani yake kubwa juu ya misingi ya ujamaa. Amewahi
Mpenzi mkubwa wa kusoma vitabu, haswa vitabu vya siasa, uongozi na uchumi. Joatham hukumbukwa kwa utashi wake mkubwa kwenye masuala ya siasa na wengi humuita mwanasiasa aliyebobea ambaye hakupata kuwa maarufu ndani na nje ya mipaka ya nchi yake.
Joatham alizaliwa katika kijiji cha
Joatham alifariki tarehe 18 Juni 1998 kwa tatizo la kansa ya shavu. Ameacha mjane Florence Kamala na watoto Emmanuel na Peter Kamala.
|