Tashihisi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 15:18, 17 Septemba 2017
Tashihisi (kutoka neno la Kiarabu; kwa Kiingereza "personification") ni tamathali ya usemi inayokipa kitu sifa ya uhai ambayo hakina ili kionekane kusema na kutenda kama kiumbehai.
Usanii huo unaweza kupendezesha sentensi, mazungumzo na maandishi na kuvifanya viwe fasihi.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tashihisi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |