Tungo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d imeandikwa na Elisha the great |
No edit summary |
||
Mstari 8:
==Tungo ni nini?==
Neno tungo katika lugha ya [[Kiswahili]], hasa kwa upande wa sarufi, lina maana ya ''neno au mpangilio wa maneno unaotoa taarifa fulani''. Taarifa hiyo inaweza kuwa kamili au la. Mfano: Yeye anayesoma.... Yule anajua kuandika. Lakini lazima kuwe na mpangilio kamili katika muundo mzima wa kisarufi.
==Aina za tungo==
#[[Kigezo cha viwango]]
Line 14 ⟶ 15:
==Tungo kishazi==
Kishazi ni tungo yenye kitenzi ambacho chaweza kujitosheleza na kukamilisha [[ujumbe]] uliokusudiwa na mzungumzaji au kuwa na kitenzi kisichoweza kujitegemea
==Sifa za tungo kishazi==
*Kishazi hupatikana katika/
*Lazima kishazi kiwe na kitenzi
*Baadhi ya vishazi huweza kujitegemea kama sentensi hata vikiondoshwa katika muktadha wa [[sentensi kuu]]. Kishazi kinachoweza kujisimamia kama sentensi huitwa kishazi huru kikiwa ndani ya sentensi kuu na huitwa
* *Vishazi vingi, hata vishazi huru huwa na [[kiima]] dhahiri.
*Kishazi kwa kawaida, hasa kishazi huru, huwa na kitenzi kimoja kikuu.
*Kitenzi hicho huweza kuandamana na kitenzi kisaidizi. Pia, kitenzi katika kishazi huweza kuwa kitenzi kishirikishi.
*Kishazi hutekeleza [[Jukumu|majukumu]] mbalimbali ya kisarufi.
*Tofauti kati ya kishazi na sentensi ni kwamba kishazi hupatikana ndani ya sentensi lakini sentensi hujisimamia kimuundo na kimaana. Kishazi huwa na [[kiarifu]] kimoja na kiima kimoja, Lakini sentensi huweza kuwa na kiima kimoja.
==Tazama pia==
|