Tanganyika African National Union : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+tazama pia
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Flag of TANU.svg|thumb|Bendera]]
[[File:Takadir - Nyerere.jpg|thumb|Kutoka kushoto: Sheikh Suleiman Takadir, Mbutta Milando, [[John Rupia]] na [[Julius Nyerere]]. Hao Waliowazunguka na silaha za jadi ni [[Bantu Group]] kundi la vijana wa [[TANU]] lililokuwa linatoa ulinzi kwa viongozi wa TANU. Picha Hii Ilipigwa Mwaka wa 1955.]]
 
[[File:WAZEE WA TANU.jpg|thumb|Baraza la Wazee wa TANU
Sheikh Suleiman Takadir wa pili chini kulia, wa pili waliosimama [[Dossa Aziz]], wa sita Julius Nyerere, wa saba John Rupia, wa tisa [[Said Chamwenyewe]], anayefuatia [[Jumbe Tambaza]], [[Mshume Kiyate]].]]
{{history of Tanzania}}
'''Tanganyika African National Union (TANU)''' kilikuwa chama kilichotawala [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]] na [[Tanzania]] hadi muungano wa chama hiki na Chama cha [[Afro-Shirazi]] cha [[Zanzibar]] ulipounda [[Chama cha Mapinduzi]] (CCM) mwaka 1977.