Tungo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 17:
Kishazi ni tungo yenye kitenzi ambacho chaweza kujitosheleza na kukamilisha [[ujumbe]] uliokusudiwa na mzungumzaji au kuwa na kitenzi kisichoweza kujitegemea.
===Sifa za tungo kishazi===
*Kishazi hupatikana katika/ndani ya sentensi.
*Lazima kishazi kiwe na kitenzi: sehemu yoyote ya sentensi isiyo na kitenzi, haiwezi kuwa kishazi. [[Kishazi huru]] hutawaliwa na [[kishazi kikuu]], na [[kishazi tegemezi]] hutawaliwa na kishazi tegemezi.
Mstari 27:
*Kishazi hutekeleza [[Jukumu|majukumu]] mbalimbali ya kisarufi.
*Tofauti kati ya kishazi na sentensi ni kwamba kishazi hupatikana ndani ya sentensi lakini sentensi hujisimamia kimuundo na kimaana. Kishazi huwa na [[kiarifu]] kimoja na kiima kimoja, Lakini sentensi huweza kuwa na kiima kimoja.
===Aina za tungo kishazi===
Kuna aina mbili za tungo kishazi nazo ni:
*1. kishazi huru *2. kishazi tegemezi
====Kishazi
Kishazi huru ni kishazi kinachotaewaliwa ka kitenzi kikuu, ambacho kwa kawaida hutoa ujumbe kamili usiohitaji maelezo zaidi ya kukamilisha maana.
====Kishazi tegemezi====
Kishazi tegemezi ni kishazi kinachotawaliwa kwa kitenzi kisaidizi, ambacho muundo wake hukifanya kutegemea kitenzi cha kishazi huru ili kuweza kutoa ujumbe uliokusudiwa.
*Kishazi tegegemezi hutoa maana kamili kinapoandamana na kishazi huru.
*Kishazi tegemezi kinaweza kufutwa katika sentensi bila kuharibu maana ya sentensi nzima.
*Kishazi tegemezi hutambulishwa na viambishi vya utegemezi
=====Aina za vishazi tegemezi=====
Kuna aina mbili za vishazi tegemezi nazo ni:
*1. Vishazi tegemezi vivumishi. *2.
==Tazama pia==
|