Tungo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 39:
Kishazi tegemezi ni kishazi kinachotawaliwa kwa kitenzi kisaidizi, ambacho muundo wake hukifanya kutegemea kitenzi cha kishazi huru ili kuweza kutoa ujumbe uliokusudiwa.
=====Sifa za kishazi tegemezi
*Kishazi tegegemezi hutoa maana kamili kinapoandamana na kishazi huru.
*Kishazi tegemezi kinaweza kufutwa katika sentensi bila kuharibu maana ya sentensi nzima.
|