Wilaya ya Ilala : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Dar es Salaam Tanzania Samora Avenue around Daily News office.JPG|thumb|250px|Mtaa wa Samora ni kati ya barabara kuu za kitovu cha jiji]] '''Wilaya ya Ilala''' ni [[wilaya]] moja ya [[Mkoa wa Dar es Salaam]],[[Tanzania]] yenye [[postikadi]] [[namba]]
Ilala yenyewe inahesabiwa kama [[manispaa]] ya Ilala ndani ya [[jiji]] la [[Dar es Salaam]]. Inajumlisha kitovu cha kihistoria cha Dar es Salaam ambako kuna ofisi nyingi za serikali pamoja na makampuni makubwa na maduka. Nafasi ya kitovu chenyewe ni [[sanamu ya askari]]; mitaa mingine maarufu ni [[Kariakoo]], [[Buguruni]], [[Kivukoni]] na kando lake iko [[Pugu]].
==Marejeo==
[[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam
[[Jamii:Wilaya ya Ilala
[[Jamii:Mkoa wa Dar es Salaam]]
|