Raila Odinga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
d ondoa <nowiki> ya kiungo cha Kenya
Mstari 1:
[[Picha:RailaOdinga.jpg|thumb|250px|Raila Odinga]]
'''Raila Amolo Odinga''' (*[[7 Januari]] [[1945]]) ni mwanasiasa wa upinzani nchini <nowiki>[[Kenya]]</nowiki> na tangu [[13 Aprili]] [[2008]] [[waziri mkuu]] nchini humo hadi 2013. Aliwahi kuwa mbunge tangu 1992 na waziri katika serikali ya rais Mwai Kibaki kati ya 2001 hadi 2005. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 alikuwa mgombea wa urais upande wa [[Orange Democratic Movement]] (ODM). Ajulikana kote Kenya kwa jina la la kwanza Raila. Waluo wenzake hupenda kumwita "Agwambo".
 
== Utoto na familia ==