Monasteri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|af}} using AWB (10903) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Monasterio Paular.jpg|right|thumb|200px|[[Monasteri ya Bikira Maria huko El Paular]], karibu na [[Madrid]], [[Hispania]]]]
'''Monasteri''' katika [[Ukristo]] ni [[jengo]] au majengo ya pamoja ambapo inaishi [[jumuia]] ya [[
Monasteri ni tofauti na [[konventi]], zilizoanzishwa na mashirika ya [[Ombaomba]], ambayo wanajumuia wake si wamonaki bali wanaitwa "ndugu".
Monasteri za Kikristo zilianza kujengwa baada ya kwisha kwa [[dhuluma]] za [[Dola la Roma]] dhidi ya Ukristo, ingawa hata kabla ya hapo kulikuwa na waamini
Kwa [[karne]] nyingi monasteri zilikuwa kama [[mji]] mdogo unaojitegemea [[Uchumi|kiuchumi]] pia kutokana na mkazo uliowekwa katika [[Sala na kazi|kusali na kufanya kazi]].
Kuna monasteri hata katika ya baadhi ya [[dini]] nyingine, hasa [[Ubuddha]].
{{mbegu-dini}}
[[Jamii:Umonaki]]▼
|