Mkoa wa Singida : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Tanzania Singida location map.svg|220px|thumbnail|Mahali pa Mkoa wa Singida katika Tanzania.]]
 
'''Mkoa wa Singida''' ni kati ya [[mikoa]] 31 ya [[Tanzania]] ukipakana na mikoa ya [[Mkoa wa Arusha|Arusha]], [[Mkoa wa Dodoma|Dodoma]], [[Mkoa wa Iringa|Iringa]], [[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]], [[Mkoa wa Tabora|Tabora]] na [[Mkoa wa Shinyanga|Shinyanga]]. [[msimbo wa posta]] ni '''43000'''<ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode</ref>
 
Kuna [[wilaya]] [[sita]] za [[Iramba]], [[wilaya ya Manyoni|Manyoni]], [[Singida Vijijini]] na [[Singida Mjini]], [[wilaya ya Ikungi|Ikungi]] na [[wilaya ya Mkalama|Mkalama]]. Wakati wa [[sensa]] ya [[mwaka]] 2012 jumla ya wakazi ilikuwa 1,370,637 <ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Singida]</ref>.