Kitabu cha Mhubiri : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q131072 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
'''Mhubiri''' (pia: '''Koheleti''') ni kimojawapo kati ya [[vitabu cha hekima]] vilivyomo katika [[Tanakh]] ([[Biblia ya Kiebrania]]) na hivyo pia katika [[Agano la Kale]] la [[Biblia ya Kikristo]]. Kwa sababu hiyo kilidhaniwa kimeandikwa na [[mfalme Solomoni]], kielelezo cha [[hekima]] katika [[Biblia]].
 
[[Kitabu]] hicho kina [[sura]] [[kumi na mbili]] na kwa kiasi kikubwa kimeandikwa kwa njia ya [[ushairi]].
 
==Jina==
Katika [[lugha]] ya [[Kiebrania]] [[jina]] lake ni '''קֹהֶלֶת''' (Qohelet), maana yake "Mhadhiri": ndivyo anavyojiita [[mwandishi]], ambaye hajulikani kwa jina.
 
Katika lugha ya [[Kiebrania]] jina lake ni '''קֹהֶלֶת''' (Qohelet), maana yake "Mhadhiri": ndivyo anavyojiita mwandishi, ambaye hajulikani kwa jina.
 
==Mada==
 
Yeye anakabili masuala ya [[maisha]] kwa kuzingatia upande chanya na upande hasi wa kila moja ili kufikia [[hekima]].
 
Mstari 16:
 
==Ufafanuzi==
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
Line 22 ⟶ 21:
 
==Viungo vya nje==
*[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/Eccles/ Kitabu cha Mhubiri katika [[tafsiri]] ya [[Kiswahili]] (Union Version)]
 
[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/Eccles/ Kitabu cha Mhubiri katika [[tafsiri]] ya [[Kiswahili]] (Union Version)]
 
{{Biblia AK}}