Petrus Plancius : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Petrusplancius.gif|thumb|200px|Petrus Plancius. J. Buys/Rein. Vinkeles (1791).]]
'''Petrus Plancius''' ([[1552]] – [[15 Mei]] [[1622]]) alikuwa
Tangu mwaka [[1589]] alianza kuchora ramani za [[nyota]] ambako aliingiza mara ya kwanza [[kundinyota]] nyingi za [[nusutufe ya kusini]] zilizoanza kujulikana [[Ulaya]] baada ya [[Baharia|mabaharia]] wa Ulaya kuzunguka [[dunia]] yote. Hapo alichora mara ya kwanza [[Salibu]], [[Pembetatu ya Kusini (kundinyota)|Pembetatu ya Kusini]] na [[Mawingu ya Magellan]].
Mwaka [[1595]] Plancius alimwomba [[nahodha]] Mholanzi [[Pieter Dirkszoon Keyser]] kukusanya vipimo vya nyota za kusini zisizopimwa bado, akazipanga
Mwaka [[1612]] aliongeza kundinyota [[mbili]] kwenye [[nusutufe ya kaskazini]] akipanga humo nyota ambazo hazikuwa bado sehemu ya kundinyota zilizojulikana. Hizi ni [[Twiga (kundinyota)|Twiga]] (Camelopardalis) karibu na [[ncha ya anga]] ya [[kaskazini]] na [[Munukero (kundinyota)|Munukero]] (Monoceros) kwenye [[ikweta ya anga]].
===Ramani===
Mstari 24:
* [http://www.ianridpath.com/startales/startales1c.htm Star Tales] – the constellations of Petrus Plancius
* [http://ssd.jpl.nasa.gov/sbdb.cgi?sstr=10648+Plancius Minor planet 10648 Plancius]
{{mbegu-mwanasayansi}}
[[Jamii:Kundinyota]]
|