Simu za mikononi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 5:
Simu ya mkononi inaweza kutumika kwa [[mawasiliano]] ya mbali bila [[waya]]. Inafanya kazi kwa kuwasiliana na kituo cha mawasiliano kwa njia ya [[mnara]] (vilevile huita "mnarani") ambayo inaunganisha na [[mtandao]] mkuu wa simu. Ikiwa inatembea, kama simu inakuwa mbali sana na mnara iliyoungana nao awali, ule mnara unatuma [[ujumbe]] kwa mnara mwingine wa karibu kupokea mawasiliano. Utaratibu huu unasaidia simu isikatike, hivyo basi mawasiliano yanaendelea kwa kuunganishwa huko. Kupasiana huko kwa minara ([[lugha]] ya kitaalamu "hand-off"), kunatokea kiasi kwamba hata mtumiaji hawezi kujua kitu kama hicho kimetokea.
[[Teknolojia]] hii wakati
Muundo mpya wa simu za mkononi unaitwa "SimuJanja" au "simu mtelezo". Muundo huu umekuwa maarufu ndani ya muda mfupi. Sehemu kubwa ya simu zilizotengenezwa kuanzia mwaka wa [[2010]] ni "[[simujanja]]". Zinaweza kutumika kama [[kompyuta]] na vilevile kupiga simu.
|