Ramadan (mwezi) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
d Masahihisho aliyefanya Ndesanjo (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Dexbot
Mstari 1:
{{Islam}}
'''Ramadhani''' au '''ramadan''', '''ramazani''' (kwa [[Kiarabu]] '''رمضان''') ni mwezi wa tisa katika [[Kalenda ya Kiislamu]] na mwezi wa [[saumu|kufunga]] katika [[Uislamu]] kuadhimisha ufunuo wa kwanza wa [[Korani|Quarani]] kwa [[Muhammad]]. Mwezi huu huwa na siku 29 au 30 kutegemeana na kuonekana kwa [[mwezi]].
 
Kufunga ni moja ya Nguzo Tano za Uislamu. Mwislamu mzima, mwenye afya nzuri, anatakiwa kushiriki katika [[swaumu]] ambayo ni ibada ya [[kufunga chakula]] na [[kinywaji]] [[mchana]] kutwa, pamoja na kujizuia kufanya [[mapenzi]] toka [[alfajiri]] hadi [[magharibi]].
 
Matendo hayo ya [[toba]] yanaendana na kuswali sana na kusoma [[quran]] kwa wingi.
 
Wagonjwa, wanaosafiri, wazee, wajawazito, wanao nyonyesha, na wanawake wenye hedhi sio lazima kufunga.
 
Mwisho wa Ramadhani ni [[sikukuu]] ya [[Idul Fitri]] (عيد الفطر - ʿīdu ʾl-fiṭr) ambayo ni sherehe ya furaha na kupongezana. Waislamu hutoa [[zakat]] (zakatul-fitri زكاة الفطر) na kusali, baadaye hukutana kwenye [[karamu]].
 
Neno Ramadhani linatokana na mizizi ya Kiarabu ramiḍa au ar-ramaḍ, ambayo inamaanisha joto kali au ukavu.
 
==Asili: Qurani kuhusu Ramadan==
Ramadan inatajwa katika Quran kwenye Sura 2 aya 185 inayosema:<br>
:Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni wongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi ataye kuwa mjini katika mwezi huu naafunge. Na mwenye kuwa [[mgonjwa]] au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. [[Mwenyezi]] [[Mungu]] anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru.