Haumea : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:2003EL61art.jpg|thumb|Kielelezo cha Haumea]]
'''Haumea''' ni [[sayari kibete]] inayozunguka [[jua]] letu katika [[umbali]] mkubwa kwenye [[ukanda wa Kuiper]].
Haumea ina [[Mwezi (gimba la angani)|miezi]] miwili: [[Hiiaka]] na [[Namaka]].
Haumea inapita [[obiti]] yake ya kuzunguka Jua katika [[muda]] wa miaka 283 na miezi 6.<ref>[http://www.johnstonsarchive.net/astro/astmoons/am-136108.html (136108) Haumea, Hi'iaka, and Namaka ], data za haumea kwenye tovuti ya johnstonsarchive.net, iliangaliwa Oktoba 2017</ref>
[[Periheli]] yake ina umbali wa
Obiti ina mwinamo
[[Masi]] yake ni takriban [[theluthi]] moja ya
[[Nadharia]] moja inajaribu kueleza umbo na mzunguko wake wa haraka kutokana na mgongano na gimba kubwa takriban miaka [[bilioni]] 4
== Marejeo ==
<references/>
*[http://twitpic.com/59rbgj Haumea jinsi ilivyoonekana tar. 10 Juni 2011]▼
==Viungo vya nje==
{{Mfumo wa jua}}
|